Joshua 19:46-47

46 aMe-Yarkoni na Rakoni, pamoja na eneo linalotazamana na Yafa.
47 b(Lakini Wadani walipata shida kulimiliki eneo lao; kwa hiyo walipanda kuishambulia Leshemu, wakaitwaa, wakawaua watu wake kwa upanga na kuukalia. Walikaa Leshemu na kuuita Dani kufuatana na jina la baba yao.)

Copyright information for SwhNEN